MKATABA WA PANGO LA CHUMBA CHA BIASHARA



MKATABA WA PANGO LA CHUMBA CHA BIASHARA:
Mimi ………….. wa S.L.P. …………. – (eneo) mkazi wa ………………. leo tarehe …………. 2019 nimeingia mkataba wna Ndugu ………………… wa S.L.P. ………….. – Songea kupanga chumba cha biashara kwenye nyumba iliyopo …………….. Shughuli ya biashara itaanza tarehe …………….. baada ya kukamilisha taratibu za kuanza biashara, hivyo pango litahesabika kuanzia tarehe hiyo. Mkataba huu ni wa miezi mitatu baada ya hapo nitaamua kuendelea au vinginevyo. Pango la chumba kwa mwezi ni Tshs: ……………./= kwa mwezi.

Huduma za umeme. na maji zitategemea matutumizi kupitia metre separator au mita yangu mwenyewe.
Mkataba huu nimeingia nikiwa na akili timamu na kushuhudiwa na: -

…………………………….          …………………………………       ……………………………..
    (……………….)                          (……………..)                (……………..)
SHAHIDI                                             MPANGAJI                         MWENYE NYUMBA
    071X XXX XXX                         0757 XXX XXX                       0754 XXX XXX                                 

Comments

Popular posts from this blog

Barua ya Kuomba Kazi

ANDIKO LA MRADI WA KUOMBA UFADHILI

Barua ya Maombi ya Kazi Kupitia Email (Barua Pepe)