Posts

Showing posts from April 28, 2019

ANAITAJIKA-MPISHI WA CHIPS NA KUKU WA SEKELA

ANAITAJIKA MPISHI MWENYE UZOEFU MKUBWA WA KUPIKA CHIPS ZA AINA TOFAUTI PAMOJA NA KUKU WA SEKELA NA UCHOMAJI WA NYAMA. OFFICE NI MPYA MAENEO YA MIKOCHENI KWA WARIOBA. MALIPO NI MAZURI KUTOKANA NA UZOEFU NA KUJITUMA KATIKA KAZI PIA. PIGA 0743 319 304 KWA MAELEZO ZAIDI

Nafasi ya kazi ya ulinzi

Wakuu anaitajika mlinzi mmoja wa kulinda eneo kubwa,garage apa dar. Malipo 150,000/= Kula na kulala ni apapa

Tutumie message yenye neno"KAMPUNI" Whatsapp namba +255764530882 kupata maelezo zaidi juu ya huduma yetu* Karibu Sana TJ CONSULT & CO.LTD kwa kazi zote za Graphics design ... Tuna design Logo, Company profile

Habari Mjasiliamali na mpambanaji, Inawezekana bado unajiuliza na kujishauri kuhusu umiliki wa kampuni au urasimishaji wa biashara zako lakini bado hujafikia muafaka, na pengine hujawahi hata kufikiria kabisa na hapa huenda ikawa ni mara yako ya kwanza kufahamu kuhusu makampuni, hali hiyo hupelekewa na sababu mbalimbali ikiwemo kutokujua kabisa, yaani mtu mwingine akisikia neno ‘Kampuni’ tayari yanamuijia kichwani kwake majengo makubwa, magari, wafanyakazi wengi watanashati, akaunti ya fedha benki yenye pesa nyingi, n.k. hivyo mtu huyo hujiona yeye sio hata wa kulitaja neno kampuni. Pia sababu nyingine kutokuelewa ni namna gani biashara zake zinaweza kusajiliwa na kuendeshwa kama kampuni, na zaidi ni kutokuelewa umuhimu wa kuwa na kampuni, yaani unakuta mtu anafanya biashara nyingi na kubwa mfano kusafirisha mbao kutoka mkoa wa Iringa kuleta Jijini Dar es Salaam, au kutoa samaki Mwanza kuleta Dar es Salaam, au biashara ya kukopesha pesa, n.k. lakini anaona biashara zinakwend...