Posts

Showing posts from January 12, 2019

Kazakh: Binadamu wa dhahabu kuzikwa tena, baada ya kufukuliwa miaka 50 iliyopita

Image
Kazakhstan itazika tena mabaki ya mwili wa shujaa wa kipekee katika hifadhi ya kihistoria kwa ajili ya watu wa baadae. Matumaini yao ni kwamba vizazi vya baadae watafanikiwa kugundua asili ya mtu huyo. Wanahistoria waligundua mabaki hayo yakiwa yamembatana na silaha za dhahabu safi pamoja na sanaa mbali mbali za thamani wakati wakichimba katika makaburi ya Issyk kusini mwa nchi hiyo mwaka 1969, na hapo hapo wakampa jina la "binadamu wa dhahabu". Tangu uhuru mwaka 1991 amekuwa ni ishara ya urithi wa asili wa taifa huko Kazakhstan. Silaha yake ya dhahabu imekuwa ni kitu cha kujivunia na imehifadhiwa katika hifadhi ya taifa ya Astana, pia hudhuru sehemu mbali mbali duniani kama alama ya tamaduni ya Kazakh. Serikali yazima jaribio la mapinduzi Gabon Kinywaji kinachodaiwa kuwa na 'Viagra' kuchunguzwa Uganda Haki miliki ya picha

Uchaguzi DRC: Martin Fayulu anataka kura zihesabiwe upya

Image
Uchaguzi DRC: Martin Fayulu anataka kura zihesabiwe upya Saa 6 zilizopita   Image caption Martin Fayulu (wa pili kutoka kulia) akiwa mahakamani siku ya Jumamosi Mgombea wa upinzani katika uchaguzi mkuu uliyofanyika nchini Jamhuri ya kidemocrasia ya Congo amewasilisha kesi katika mahakama ya katiba kupinga matokeo ya uchaguzi huo. Martin Fayulu anasisitiza kuwa alishinda uchaguzi huo lakini tume ya uchaguzi ikamtangaza mshindani wake Felix Tshisekedi kuwa mshindi. Anamlaumu Tshisekedi, ambaye pia alikuwa mgombea wa upinzani kwa kushirikiana na rais anaeondoka madarakani Joseph Kabila. FBI 'ilimchunguza Trump kuhusiana na Urusi' Fahamu historia ya pasipoti duniani Acacia yalimwa faini ya milioni 300 Tanzania Kwa mujibu wa shirika la habari la AFP, wakili wake Feli Ekombe amesema: &quo

Mtaalamu bingwa wa afya ya akili kutoka Tanzania kutuzwa Marekani

Mtaalamu bingwa wa afya ya akili kutoka Tanzania kutuzwa Marekani 9 Juni 2018 Sambaza habari hii Facebook Sambaza habari hii Messenger Sambaza habari hii Twitter Sambaza habari hii Email

Rais Donald Trump na Melania wawatembelea ghafla wanajeshi wa Marekani nchini Iraq

Image
27 Disemba 2018 Sambaza habari hii Facebook Sambaza habari hii Messenger Sambaza habari hii Twitter Sambaza habari hii Email Mshirikishe mwenzako

50 Cent amhimiza Kanye West agombee Urais wa Marekani 2020

Image
Alipotangaza mwaka jana kuwa mwaka 2020 atagombea urais wa Marekani, watu wengi waliamini kuwa Kanye West alikuwa akiota ndoto za mchana. Hata hivyo wapo watu ambao wanaamini kuwa Yeezy pamoja na kutokaukiwa vituko, anafaa kuchukua fomu kuwania nafasi hiyo kubwa duniani. Mmoja wa watu hao ni 50 Cent, hasimu wake wa zamani. “Nadhani Kanye anatakiwa kugombea,” 50 alisema kwenye podcast ya Drink Champs. “Sijali kama atapoteza. Nataka tu agombee, watu hawawaamini wanasiasa hivyo watamuangalia na kumuona ni kitu tofauti na hata kama akifanya makosa, anasema anatenda katika ukweli.” Kwenye show hiyo pia 50 alizungumzia bifu ya Meek Mill na Drake.

Elizabeth Warren atangaza azma ya urais Marekani 2020

Image
Elizabeth Warren atangaza azma ya urais Marekani 2020 Januari 01, 2019 Seneta Elizabeth Warren Shirikisha Ona maoni Warren alisema "hata kama tuna tofauti zetu, wengi wetu tunataka kitu hicho hicho. Kuwa na uwezo wa kufanya kazi kwa bidii na kuwahudumia watu tunaowapenda. Hicho ndicho ninachopigania na ndio maana leo ninazindua kamati ya uchunguzi kwa ajili ya kuwania urais”. Seneta m-democrat Elizabeth Warren wa Marekani ameunda kamati ya uchunguzi kwa ajili ya kuwania urais mwaka 2020. Seneta huyo wa Massachusetts siku ya Jumatatu alikuwa mtu wa kwanza katika kile kilichobashiriwa kutangaza azma yake ya urais ifikapo 2019. Warren mwenye miaka 69 alizungumza kwenye video iliyotumwa kwa wafuasi wake akisema “hata kama tuna tofauti zetu, wengi wetu tunataka kitu hicho hicho. Kuwa na uwezo wa kufanya kazi kwa bidii na kuwahudumia watu tunaowapenda. Hicho ndicho ninachopigania na ndio

LOWASSA ATANGAZA KUGOMBEA URAIS MWAKA 2020

Image
LOWASSA ATANGAZA KUGOMBEA URAIS MWAKA 2020   Malunde       Monday, July 17, 2017 Waziri Mkuu wa zamani na mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema, Edward Lowassa amesema licha ya changamoto nyingi anazopata akiwa ndani ya upinzani, atagombea tena urais katika Uchaguzi Mkuu mwaka 2020 na anaamini atashinda. Lowassa aliyejitokeza kugombea urais kupitia CCM mwaka 2015 na jina lake kukatwa kisha kuhamia Chadema alikogombea nafasi hiyo akiwakilisha vyama vilivyoungana chini ya Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) na kushindwa na Rais John Magufuli, bado anatajwa kuwa mgombea mwenye nguvu katika kambi ya upinzani. Kwa mujibu wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Rais Magufuli alishinda kwa kupata kura 8,882,935 sawa na asilimia 58.46, huku Lowassa wa Chadema akijipatia kura 6,072,848 sawa na asilimia 39.97 ya kura zote. Akizungumza jana katika mahojiano maalumu na waandishi wa Nation Media Group (NMG) jijini Nairobi, Lowassa alisema, “Kwa mapenzi ya Mungu n

TUJIKUMBUSHE MATUKIO MAKUBWA MATANO YAKIDUKUZI KATIKA MAKAMPUNI MAARUFU

Image
TUJIKUMBUSHE MATUKIO MAKUBWA MATANO YAKIDUKUZI KATIKA MAKAMPUNI MAARUFU Tukiwa tupo ndani ya Mwezi wa kuhamasisha uelewa wa matumizi salama ya mitandao, Marufu kama “NATIONAL CYBERSECURITY AWARENESS MONTH” nimeona si vibaya tukajikumbusha matukio muhimu matano ya kiuhalifu mtandao yaliyojiri mwaka huu. Huku mataifa mbali mbali yakiendelea kujipanga katika mapambano dhidi ya uhalifu mtandao, bado matukio ya kiuhalifu mtandao yameendelea kuitikisa dunia. Yafuatayo ni matukio matano niliyo chagua kuyajadili siku ya leo. NEIMAN MARCUS Mwezi wa pili mwaka huu wa 2014,...

Heavy snow in Germany

Image
Heavy snow brings chaos and death to Germany and Austria Alpine regions remain on high alert after 12 people are killed in weather-related incidents Josie Le Blond in Berlin Fri 11 Jan 2019 15.06 GMT Last modified on Fri 11 Jan 2019 21.50 GMT Shares 483 1:01 Parts of Europe blanketed by heavy snowfall – video Parts of Germany and Austria remain on high alert after extreme snow in Alpine regions, where 12 people have died in weather-related incidents. A nine-year-old German boy was the latest victim of the extreme weather, which has resulted in residents becoming snowed-in and motorists trapped for hours in freezing temperatures. The boy was killed by a falling tree in Aying, near Munich, on Thursday afternoon, police said. Two German skiers were killed by avalanches in the Austrian Alps at the weekend. The others died in traffic accidents or after being hit by falling tr