Posts

Showing posts from August 23, 2019

Jinsi ya kuanzisha mradi – Mambo 7 Muhimu ya Kuzingatia

Image
Huduma za Kitaalamu, Kubuni Miradi, Miradi ya Kijamii 2720 Ili kuanzisha mradi kuna baadhi ya mambo muhimu ni vyema ukayajua. kulingana na ukubwa wa mradi kifedha na kieneo mambo muhimu yaweza kubadilika. Lakini katika miradi yote angalau haya mambo yanastahili kuzingatiwa: Kufanya Utafiti wa Uhitaji wa Mradi – Project Research or Situational Analysis Uchambuzi wa wadau – Stakeholders Analysis Mpangilio wa mradi – Project Design Andiko la Mradi-Project Proposal na kutafuta pesa na rasilimali zinazotakiwa-fundraising Kuweka mipango ya utekelezaji wa mradi, Usimamizi, Ufuatiliaji na Tathmini – Project Planning, Management, Monitoring and Evaluation hii ni pamoja na namna ya kufanya ukaguzi wa mahesabu-project audit na kufanya tathmini ya mradi-project evaluation Kutengeneza taasisi ya kusimamia mradi-Organization Development Kutengeneza sera mbalimbali-Policies Development ———————————————————————— M

Company Registration – without share capital – Nonprofit Company

Image
REGISTRATION FEES FOR COMPANY HAVING NO CAPITAL SHARE Fee Details Amount BRELA Fees BRELA Registration fee               300,000.00 1.    Limited Company by Share a.    20k-1m – TZS.95,000 b.    1-5 m– TZS.175,000 c.    5-20m– TZS.260,000 d.    20-50m– TZS.290,000 e.    >50m – – TZS.440,000 2.     Limited Company by Guarantee =TZS. 300,000 1.    Filling fees                 72,200.00 Total               372,200.00 Consultant Fees 2.    MemArts Development pdf copy             100,000.00 3.    Notary Public Stamps for 1 MemArts            150,000.00 4.     Consultation Fee will be TZS. 200,000 +               350,000.00 a.    20k-1m – TZS.100,000 b.    1-5 m– TZS.200,000 c.    5-20m– TZS.250,000 d.    20-50m– TZS.300,000 e.    >50m – – TZS.500,000 f.      Nonprofit = 150,000.00 5.    Follow-up and emergency               400,000.00 Total            1,000,000.00

Zifuatazo ni hatua 26 za kufuata katika kuanzisha biashara ndogondogo

  Zitamuwezesha mtu yeyote kuanzisha biashara yeyote kwa uraisi zaidi. Hatua ya kwanza YA KUAMUA ikiwa imebeba hatua zingine zote kwani biashara inahitaji utayari (maamuzi tena saa nyingine MAAMUZI MAGUMU) zaidi ya vitu vingine kama mtaji nk Hatua ya ya 1: Kuamua kuingia katika biashara Kuamua kuingia katika biashara ni mjumuisho wa utayari wa kisaikolojia, kiakili, kiuchumi, kiimani ili kuweza kukabiliana na hatari au vitisho vyote vitakavyojitokeza kwenye biashara. Maamuzi yako na hasa maamuzi magumu juu ya aidha kufanya hiyo biashara au la si ile hali ya kuamua kufanya biashara tu, bali pia ni ile hali ya kukubaliana na ups and downs za biashara husika na kuwa tayari kujitoa mhanga zaidi. Hatua ya 2: Kuchanganua uwezo na udhaifu wako Uwezo wako katika kutekeleza biashara husika ni muhimu sana. Kila mtu anao uwezo fulani katika maisha yake ila sio wote tunaojua ni uwezo gani tunao kwa manufaa gani na kwa wakati gani. Ni vyema sasa kuchambua uwezo wako wote ili kua

We offer but not limited to the following:

We offer but not limited to the following: Business Office Documents Development, Company Registration, Business Plan Development, Curricula Development for colleges, Office Digitization Consultancy, Online Presence and Marketing Consultancy, Leadership and Management Consultancy, Constitution Development  and much more