Posts

Showing posts from January 23, 2019

MKATABA WA PANGO LA CHUMBA CHA BIASHARA

MKATABA WA PANGO LA CHUMBA CHA BIASHARA: Mimi ………….. wa S.L.P. …………. – (eneo) mkazi wa ………………. leo tarehe …………. 2019 nimeingia mkataba wna Ndugu ………………… wa S.L.P. ………….. – Songea kupanga chumba cha biashara kwenye nyumba iliyopo …………….. Shughuli ya biashara itaanza tarehe …………….. baada ya kukamilisha taratibu za kuanza biashara, hivyo pango litahesabika kuanzia tarehe hiyo. Mkataba huu ni wa miezi mitatu baada ya hapo nitaamua kuendelea au vinginevyo. Pango la chumba kwa mwezi ni Tshs: ……………./= kwa mwezi. Huduma za umeme. na maji zitategemea matutumizi kupitia metre separator au mita yangu mwenyewe. Mkataba huu nimeingia nikiwa na akili timamu na kushuhudiwa na: - …………………………….           …………………………………        ……………………………..      (……………….)                             (……………..)                   (……………..) SHAHIDI                                              MPANGAJI                            MWENYE NYUMBA     071X XXX XXX                          0757 XXX XXX        

KARIBU TUKUFANYE UITAMBUE BIASHARA YAKO

Jifunze ujifunze ili ujue kama unatengeneza faida au upo katika upande wa hasara tufanye tukutumikie unufaike tupigie 0764 530 882

JIFUNZE KUTENGENZA PESA KUPITIA MITANDAO YA KIJAMII

Imezoeleka sana kwa watu wengi kuytumia mbs zao kuchati tu lakini unaweza kutengeneza pesa kupitia mbs zako kujifunza zaidi karibu kwetu