Posts

Showing posts from March 16, 2019

Ulimwengu Wa Plastiki Au Dunia Ya Watu

Image
Ulimwengu Wa Plastiki Au Dunia Ya Watu. Waziri Wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Raisi Muungano na Mazingira Mheshimiwa January Makamba aliwai kusema “Ndugu zangu sina budi kuwa kumbusha kuwa siku hizi kuna Wakimbizi wa Mazingira, watu wanaharibu mazingira katika maeneo yao na kuhamia maeneo mengine, jitihada za maendeleo zote hazitakuwa na maana kama hatutatunza Mazingira yetu”. Raisi wa Awamu ya Pili Mheshimiwa Ali Hassan Mwinyi alisema “Umaskini na uharibifu wa Mazingira ni watoto mapacha na mama yao ni Ujinga.” Mwanadamu ndio chanzo cha uharibifu wa Mazingira na uharibifu huo unasababishwa na sababu mbalimbali ikiwemo utupaji wa taka ovyo zikiwemo taka za plastiki. Plastiki utengenezwa kwa kiasi kikubwa na malighafi aina ya organic polymers. Polyethylene na nylon ni mfano mzuri wa organic polymers. Kauli mbiu ya mazingira ya mwaka 2018 duniani kote ilisema "Kupiga vita uchafuzi wa plastiki" (Beat Plastic Pollution) na kilele cha kuadhimisha siku hiyo

WFT announces Call for Proposals to Promote Women, Girls and Children Rights in Tanzania

Women Fund Tanzania (WFT) has announced a call for proposals for 2019 on the promotion of women, girls and children rights in Tanzania. The Fund focuses on supporting initiatives that are working towards promoting women, girls and children rights for empowerment and contributing towards growth of a strengthened women’s movement in the country. Funding Windows WFT is inviting applications under its three funding windows as follows: Small Scale Window ( TSH 7,000,000 – TSH15,000,000 ): Under this window, small scale organizations promoting rights of women, girls and children can secure funds to work on the following thematic areas: Violence against women, girls and children with a particular focus on interventions addressing issues of sexual corruption/sextortion at different levels. Economic women rights including interventions directed at enhancing rights and participation of women, girls and children in the extractive industries (Mining, Oil, and Gas) and related other

Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa

Image
UTANGULIZI Je Kuna bidhaa unataka kununua toka nje ya nchi kwa sababu hapa Tanzania umetafuta na umekosa kuipata? Je kuna huduma unahitaji kulipiwa mtandaoni? Kama jibu ni NDIO basi hii thread inakuhusu. Thread hii ni maalumu kwa wanaohitaji kununua bidhaa yeyote toka nje ya nchi. Bidhaa ambazo Hazipatikani hapa nchini au Hata ukipata gharama yake huwa ni kubwa mara mbili zaidi, ukilinganisha na gharama ya Kununua nje + Gharama ya usafirishaji + Kodi Hivyo thread hii itajikita katika nyanja kuu mbili: 1. BUY4ME : Manunuzi ya bidhaa mtandaoni toka mataifa 15: ITALY, UAE, CANADA, UK, USA, JAPAN, FRANCE, CHINA, INDIA, GERMAN, MALAYSIA, SINGAPORE, SPAIN & SOUTH AFRICA. Huduma hii nitaiita BUY4ME. (a) Kupitia huduma hii ya Buy4me Utaweza kununua bidhaa kutoka katika masoko * yaliyo bora yasiyouza na kusafirisha bidhaa nje ya nchi zao. (b) Pia ununuzi wa bidhaa toka masoko* ambayo yanaweza tuma bidhaa nje ya nchi zao, kuja huku Tanzania (Africa) * Masoko = O

Namna Ya Kukuza Na Kuendeleza kipaji Chako

Kipaji au talanta kwa maana nyingine ni uwezo ambao binadamu anapewa na Mungu wa kufanya mambo mbalimbali hapa duniani.Vipaji hivi vinatofautiana baina ya mtu na mtu japokuwa kwa baadhi ya watu vinafanana.Kuna watu wana vipaji vya kuimba,kuchekesha,kuchora,kuigiza ni vingine vingi ambavyo havijatajwa hapa. Kwa ujumla kila mtu hapa duniani amepewa kipaji fulani,wapo walioweza vipaji vyao mapema,wapo waliochelewa kugundua na wengine wameshindwa kabisa labda kutokana na mazingira wanayoishi au sababu kadha wa kadha.Leo hii nitakushirikisha namna ya kugundua na kukiendeleza kipaji chako ambacho mda mrefu umekuwa ukijiuliza kipaji chako ni kipi. Namna ya kuendeleza kipaji chako 1.Lazima ujue vipaji vyako Unatakiwa ujitathimini nguvu na uwezo wako .Familia na marafiki zetu wanaweza kukusaidia kufanya kazi hii kwani ndio unaishi nao muda mwingi.Andika vitu unavyoweza au unavyotaka kufanya.Hii itasaidia kujua vitu tunapenda na tunafanya vizuri zaidi.Unatakiwa pia kumwomb

Kwa nini misikiti imeshambuliwa huko New Zealand? Huu ndio ukweli ambao hausemwi.

Nimesomasoma mtandaoni nikitaka sababu gani wazungu wamewashambulia ili kufukuza Waislam nchini kwao... Kuna conspirancy fulani inaenezwa kwamba eti Waislam wanahamia Ulaya ili wageuze nchi za Ulaya ziwe za Kiislam. Sasa hizi theory ndio zinawakasirisha wazungu ambao wanataka kulinda utamaduni wao wa Kizungu kama Waislam wanavyotaka kulinda utamaduni wao wa Kiislam kwenye nchi zao Wazungu wanadai Uislam haupo compatible kabisa na tamaduni za Ulaya kama vile 1.Uhuru wa kuabudu: Ulaya mtu wa dini yeyote kama vile Budha, Hindu, Mkristu, Mpagani n.k unaruhusiwa ili mradi tu ufuate sheria za nchi, ila kwenye nchi za Uislam hauvumilii kabisa dini nyingine, makanisa hayaruhusiwi na mtu ukiacha Uislam ukajiunga na Dini nyingine adhabu yake ni kali, inaweza kuwa kifo nchi nyingine 2. Usawa wa kijinsia: Ulaya wanaamini mwanaume na mwanamke wanatakiwa wawe na haki sawa, ila katika Uislam, mwanamke ni kiumbe duni sana, mfano Saudi Arabia mwanamke hatakiwi kutoka kwenda kazini, ana

Utaalam wanaotumia Wachawi katika kuumiza watu

Wapendwa wasomaji na wenye hamu ya kufahamu mambo mbali mbali, nimependa kuwaletea mada hii ili kuweza kujua mbinu mbali mbali wanazotumia binadam wenzetu wenye roho mbaya katika kuumiza binadam wenziwao. Uchawi ni fani maalum yenye uwanja mpana, ni sayansi ya kimazingara yenye kuhitaji utaalamu, umahiri na ushujaa ili mtu kuweza kukabiliana nao. Ila kabla ya kulezana mbinu zitumikazo katika kuumiza watu ni vyema basi tukifahamu huu uchawi nini na pia mtu anawezaje kuwa mchawi. Naomba ufuatilie kwa umakini kwani huwenda wewe ukawa mmoja wa hao waathirika wa hii sayansi iliobobea hapa Tanzania.Uchawi ni maradhi hatari sana na ni silaha ambayo mtu huuitumia dhidi ya adui yake pasi na kumgusa. UCHAWI NI NINI? Ni fundo au kisomo kinachosomwa ama kuandikwa au hufanywa kitu kitakacholeta athari katika kiwiliwili cha mlengwa pasi na mlengwa kuguswa. Elimu hii ya uchawi mara nyingi huambatana na elimu ya unajimu(astrology) kwa kushirikiana na kiumbe khabithi anaejulikana kama

Kwa mahitaji ya nyumba au chumba cha kupanga Mwenge, Sinza, M/nyamala na Mbezi

Image
Kama unahitaji nyumba maeneo hayo ya chumba au nyumba ya kuanzia chumba na sebule au kuanzia vyumba viwili na kuendelea usisite kunitafuta, maeneo ni hayo ya Mwenge, Kinondoni, Sinza, Kijitonyama na Mbezi Tangibovu mpaka Makonde na Makongo juu, Tabata, Tegeta, Bunju, wazo, Pia Shekilango, Urafiki na Ubungo maziwa zipo, Baruti, kimara, temboni, Mbezi mwisho goba wote karibuni Chumba kimoja moja kipo, chumba na sebule, master, nyumba nzima zipo karibuni. Namba ni 0713415537 au 0684448888 (hii ipo whatsapp). Fremu za biashara zipo pia. TUSOME HUU UJUMBE Habari wana jamvi! Nimeona leo kulizungumzia japo kwa ufupi kuhusu swala potofu juu ya madalali wa nyumba za kupanga, kumekua na malalamiko mengi kuhusu madalali wa nyumba/vyumba kupandisha bei halisi ya nyumba au chumba ili kupata cha juu, niwaambie tu dalali yoyote wa nyumba ya kupanga hahusiki kabisa kwenye bei ya pango, dalali wa kupanga si kama wa kiwanja, nyumba ya kuuza au magari nk. Dalali wa nyumba yakupan

Jipatie bidhaa kutoka kwetu kwa bei nafuu, tupo Kariakoo

Image
TUNA BIDHAA ZA MAJUMBANI NA OFISINI TUPO KARIAKOO MSIMBAZI KARIBU NA DDC HALL (Manyema st) TUNA FANYA FREE DELIVERY NDANI YA DAR ES SALAAM PIA TUNA TUMA MIKOA YOTE TANZANIA KWA UMAKINI ULIO TUKUKA KARIBU UJIUNGE NA FAMILIA YA NAFUU ELECTRONICS UFURAHIE HUDUMA BORA NA ZENYE UHAKIKA. KWETU MTEJA NI ZAIDI YA MFALME BIDHAA ZETU NI HOME THEATER AINA ZOTE SUBWOOFER AINA ZOTE SPEAKER KUBWA AINA ZOTE SPEAKER ZA MATANGAZO AINA ZOTE MIC WIRELESS AINA ZOTE TV FLAT LED AINA ZOTE TV FLAT SMART AINA ZOTE PORTABLE TV AINA ZOTE FRIDGE AINA ZOTE FREEZER AINA ZOTE AC AINA ZOTE FANE AINA ZOTE AIR COOLER AINA ZOTE AZAM DISH NA FUNDI WALLMOUNT SIZE ZOTE LAPTOP USED FROM UK AINA MBALIMBALI SIMU IPHONE NA SAMSUNG USED FROM UK GENERATORS AINA MBALIMBALI WATER PUMP AINA ZOTE MASHINE ZA KUNYOLEA AINA MBALIMBALI NA BIDHAA NYINGINE NYINGI NIMEKUWEKEA KATIKA MABANDIKO YA MBELE USISITE KUTEMBELEA BANDIKO LETU ILI UJIPATIE BIDHAA UITAKAYO KWA BEI NAFUU Z

Walipukiwa na mabomu wakitaka kulipua kanisa

Image
Washambuliaji wawili wa kujitoa mhanga ambao walikuwa kwenye harakati za kutekeleza shambulizi la bomu katika kanisa moja kaskazini mashariki mwa Nigeria wameripotiwa kufa baada ya bomu waliokuwa nayo kulipuka kimakosa kabla ya kufika kwenye kanisa walililokuwa wakilenga. Kwa mujibu wa ripoti za polisi, washambuliaji hao walikuwa watatu lakini mmoja akatoroka alipoona wenzake wamelipuliwa. Polisi wamesema kwamba washambuliaji hao walikuwa wakielekea katika kanisa la Seminari kwenye jimbo la Adamawa kutekeleza shambulizi hilo. Polisi wanashuku kwamba kundi la kigaidi la Boko Haram lilihusika kwenye tukio hilo. Source:- China Xinhua News  

NEW ZEALAND: Seneta ashambuliwa baada ya kuwalaumu Waislamu kwa shambulio la Msikitini

Seneta Fraser Anning wa Jimbo la Queensland nchini Australia amepigwa na yai na kijana mmoja baada ya kudai Waislamu wanaohamia New Zealand ndio chanzo cha shambulio lililotokea Msikini na kuua watu 49 Baada ya kupigwa na kijana huyo Seneta Anning alishindwa kujizuia na kuanza kupigana naye kabla ya kuamuliwa Kijana huyo alichukua uamuzi huyo kwa maelezo kuwa hakupendezwa na tuhuma hizo za Seneta huyo mbele ya Waandishi wa Habari ======= Australian senator egged after racist comments on New Zealand Senator Fraser Anning drew international condemnation for blaming attack that killed 49 Muslims on immigration. A far-right Australian senator had to be restrained by security officials after punching a young man protesting his offensive comments about the mosque attacks in Christchurch, New Zealand. Queensland Senator Fraser Anning drew international condemnation for his efforts to blame the attack on Friday that killed 49 Muslim worshippers on immigration. Amid the cont

Trump Kiboko ya mmarekani mwenyewe,umpende umchukie ila trump ametingisha Washington

USA wanapenda sana kusema oh Twende vita Iraq wanataka democracy na Wakati wao hawana democracy ,FBI na CIA na media colluded to bring down trump , Admission scandal exposed (they bribe to go to Harvard,Yale ,Columbia na malia Obama couch yupo kwenye scandal media kimya Kuhusu Hilo ) Media corrupt especially CNN (trump is hitler , murder, serial dater, lier you name it ) .saddam na ghaddafi were murdered because or corruption na wezi Wapesa.Na Wakati FBI is so corrupt wamekamatwa.  

UTATA SIKU YA UFUFUO-SIYO MANENO YANGU NI MASTORI YA TOWN

Hiv ni kweli siku ya ufufuo ipo au ni tricky tu ya kutufariji pindi tunapofiwa na ndugu na jamaa ili tuamini ipo siku tutaonana nao paradiso na kama kweli ipo? Maana watu wamefariki miaka zaidi ya Ma elfu iliyopita ila hatujawahi kusikia habari za ufufuo wao au inakuaje? Maana kila siku watu wanazidi kuzaliana na kufa

Mastori ya taown

Nina rafiki yangu nimemkaribisha nyumbani kwetu tunaishi mimi na yeye tu hatujaoa nilikuwa naishi peke yangu alikuwa anaishi kwa mjomba wake nyumba ikapangishwa. Nikaona ni vyema aje niishi nae sababu tulisaidiana mambo mengi ya kimaisha kwa miaka minne amehamia nyumbani ni miezi miwili sasa. Wiki iliyopita alisema ameenda kwa mganga amedai analogwa sana ndo maaana mambo yake hayaendi kwa hiyo amepewa dawa na mojawapo ya dawa ni kuoga usiku wa saa 7 nje kuondoa mikosi na swala lingine na anadai kuwa huyo mganga humfuata kimiujiza akiwa amelala na kumtibu kwa njia hiyo nyumbani na mimi alinishauri kwenda kwa huyo mtalaamu nikaangalie matatizo yangu nimekataa kwenda Sasa nataka nimwambie asiogee hizo dawa nyumbani lakini naona kama jamaa atachukia na kuona sipendi maendeleo yake hivyo nifanyeje? Na mimi sipendi haya mambo ya kishirikina