Posts

Showing posts from January 10, 2019

UNAHITAJI KUANDAA KATIBA YA KIKUNDI,SHIRIKA AU CHAMA CHOCHOTE?

UNAHITAJI KUANDAA KATIBA YA KIKUNDI,SHIRIKA AU CHAMA CHOCHOTE?FUATA MTIRIRIKO HUU    Kwanza kabisa itambulike kuwa Katiba ndiyo msingi mkuu wa shughuli zote za taasisi ,chama,au kikundi husika,katiba ni kama barabara(ramani)itakayo wafikisha katika malengo yenu kusudiwa zingatia hatua zifuatazo katika Uandishi wako kama:- 1.Cover page 2.Yaliyomo 3.Tafsiri ya maneno 4.Utangulizi 5.Jina la taasisi,kikundi,chama pamoja na kifupi chake 6.Malengo ya kuanzisha 7.Aina ya wanachama,haki na wajibu wao na ukomo wao 8.Muundo wa Uongozi 9.Sifa na wajibu wa viongozi 10.Mikutano ya taasisi na kazi zake 11.Usimamizi wa fedha 12.vyanzo vya mapato 13.Mwaka wa fedha wa taasisi 14.Ukomo wa taasisi 15.Majina ya waanzalishili,nafasi zao na anuani zao

EPUKA KUKWEPA KODI..JIFUNZE HILI

UNA KAMPUNI YAKO NA UMESAJILI KIKAMILIFU NA HUJAZALISHA(HAIJAOPARATE)SAWA NINI UFANYE SASA NDUGU YANGU...? TRA UNADAIWA KODI KWA KUTOKUSUBMIT RETURN NI RAHISI SANA FUATA NJIA HIZI. 1.TAFUTA MSHAURI WA KODI POPOTE MKOA UPENDAO 2.ANDIKA APPOINTMENT LETTER KWA TAX CONSULTANCY WAKO 3.MKABIDHI TIN YA KAMPUNI,CERTIFICATE OF YOUR CO,MEMART 4.JAZA NILL RETURN 5.SUBMITT TRA 6.NOW U R SAFE TO RUN YOUR BUSINESS LEGALLY  MENGI ZAIDI KARIBU PIGA NO.0764530882 AU email:us

TARATIBU ZA USAJILI WA NGO'S CHINI YA SHERIA YA MASHIRIKA YASIYO YA KISERIKALI NA 24 YA MWAKA 2002

Ili uweze uweze kusajili shirika lako lisilo la kiserikali utapaswa kuambatanisha vitu vifuatavyo kwa mujibu wa sheria za usajili wa mashirika haya:- 1.Katiba ya shirika nakala 3 2.cv za viongozi wa 3 na paspoti(2) kwa kila mmoja 3.Muhtasari wa kikao cha kuanzisha Ngo wenye majina na sahihi za waanzilishi 4.Fomu ya maombi ya usajili(Fomu no 1A) 5.Barua ya utambulisho toka Ofisi ya maendeleo ya jamii ya eneo lako 6.Taarifa nyingine yoyote itakayo hitajika na msajili kutoka kwako