Mfano wa Barua ya Kuomba Kazi/Maombi ya Kazi Je ulishawahi kuandika barua ya maombi ya kazi na kutuma kwa waajiri wengi na wote au wengi ya hao hawakukujibu hata kama unajua unazo sifa za hiyo kazi? Jibu la hapo ni rahisi Uandishi wa barua zako una shida Barua ya maombi ya kazi iwe na sura hii Wewe nani Umezipataje hizo taarifa za nafasi za kazi Unafikiri wewe utapeleka kitu gani nzuri ambayo wengine walioomba hiyo nafasi hawana ila wewe unayo/unazo (Usieleze habari za degree, diploma au vyeti vyako kwani na wenzako wanazo, pia usieleze juu ya uzoefu wako wa kazi kwani na wao wanazo tena kukuzidi) Eleza utayari wako wa usaili na kuanza kazi Acha mawasiliano yako ya haraka kama simu ya kiganjani na barua pepe (usiache mawasiliano ya kupitia kwa watu wengine kama shangazi mjomba, mama, baba na marafiki au jirani) Eleza kwamba umeambatanisha wasifu wako
MAMBO YA KUZINGATIA KATIKA UANDISHI WA ANDIKO LA MRADI WA KUOMBA UFADHILI 1, tumia Lugha inayojulikana na mataifa Mengi. Hapa tunashauriwa kutumia Lugha ya kingereza, Kwan ndiyo inayotambuliwa na wafadhili wengi. May be Ukiwa unaandikia kwa wafadhili wa ndani ya nchi. 2. Fuata hatua Za maombi - Hii ni kwasababu wafadhili wengi hupenda kutumia muundo wao ambao utaujaza kwa kujibu maswali yaliyoainishwa katika muundo huo ulioandaliwa. ( Tutajifunza kwenye practical ) - Lakini ikiwa Hakuna muundo ulioandaliwa na agencies basi utaandika kwa kufuata vipengere muhimu vya kuvifuata katka uandishi uo ( tutaviangalia soon ). 3. Kuwa makini na tarehe ya Mwisho katika kutuma maombi ya proposal - kosa kubwa linalofanywa na watu wengi ni kutuma maombi tarehe na dakka Za Mwisho. Hii inapelekea mfadhili kutoisoma/ kuifuatilia proposal yako vizuri. 4. Kujua kanuni na taratibu Za mfadhili katika utoaji wa ruzuku- kuzifahamu taratibu na kanuni ni hatua ya msingi katika kupata r
Utangulizi Kuelekea maendeleo ya sayansi na teknolojia (teke linalokujia) na hasa kwenye nyanja ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) makampuni na waajiri wengi sasa wanataka maombi ya kazi yafanywe kwa email au barua pepe (sio barua pepo) Maombi ya kaz kupitia email husaidia yafuatayo: kuokoa gharama kama za uchapaji na usafiri kuokoa muda wa barua kutoka kwa muombaji mpaka imfikie mwajiri Kuharakisha pia mawasiliano baada ya maombi kutumwa Kama utaomba kazi kupitia email zingatia yafuatayo: Tumia email yenye majina yako rasmi. Mfano kama wewe ni Theodory Edmund Ngonyani, email iwe hivi. theodoryngonyani@yahoo.com, theodoryngonyani@outlook.com NK. Angalau majina yako mawili yatokee kwenye email ID. Unaweza hata kuongeza namba kama majina yako mawili hayapatikani. Kumbuka hii itaongeza kuaminiwa na mwajiriwa mtarajiwa kuliko kutumia email kama dumelamji@gmail.com au dijose@gmail.com NK Tumia pia email zenye kufuata weledi wa kimataifa. Mfano siwashauri watu
Comments
Post a Comment