Nafasi ya Kazi: Mhuduma wa Ofisi na wateja
- Get link
- X
- Other Apps
Habari wanajukwaa, tunahitaji kijana kwa ajili ya kuhudumu kwenye ofisi yetu. Kazi utakazokua unafanya ni kama ifuatavyo:-
Pia ukituma ujumbe mfupi tujulishe na mahali unapoishi, lengo ni kupata mtu anayeishi maeneo ya jirani na ofisi yetu ilipo kuepusha adha ya usafiri.
Mlo mmoja wa siku utatolewa na ofisi, pia posho ni mpaka Shilingi Laki Moja kwa mwezi. Pia kutakuwa na bonus za kila mwisho wa wiki kulingana na utendaji kazi na kufikia viwango utakavyopangiwa.
Mwisho wa kupokea maombi ni siku ya tarehe 11/04/2019 saa tatu na nusu usiku.
- Kupokea simu za wateja na kuwahudumia.
- Kutafuta wateja kwa njia ya mitandao ya kijamii na kuwatembelea sehem zao.
- Kutuza kumbukumbu za ofisi .
- Awe na elimu ya kidato cha nne au sita. (Mwenye cheti anaweza kupewa nafasi)
- Ajue kuzungumza kiswahili na kuandika kwa ufasaha.
- Ajue kutumia mitandao ya kijamii na "Computer"
Pia ukituma ujumbe mfupi tujulishe na mahali unapoishi, lengo ni kupata mtu anayeishi maeneo ya jirani na ofisi yetu ilipo kuepusha adha ya usafiri.
Mlo mmoja wa siku utatolewa na ofisi, pia posho ni mpaka Shilingi Laki Moja kwa mwezi. Pia kutakuwa na bonus za kila mwisho wa wiki kulingana na utendaji kazi na kufikia viwango utakavyopangiwa.
Mwisho wa kupokea maombi ni siku ya tarehe 11/04/2019 saa tatu na nusu usiku.
- Get link
- X
- Other Apps
Comments
Post a Comment