Posts

EWE MJASIRIAMALI, HATUA ZA KUUNDA KAMPUNI HIZI HAPA, MILIKI KAMPUNI SASA.​

Na MTAALAMU WAKO STEP 1; chagua jina. Kampuni lazima iwe na jina linalotambulika na linalojitofautisha na majina ya makampuni mengine nchini. Hatua hii, kwa lugha ya biashara huitwa ‘Name Search’ ambapo unatakiwa kutumia online account ya Brela kuuliza iwapo jina ulilochagua linafaa na hakuna linapotumika Tanzania. Jina hilo litaingizwa kwenye mtandao wa makampuni yaliyosajiliwa na Brela, ili kuona kama kuna kampuni yenye jina linalofanana na hilo lako. Kwa kuwa majina yote ya kampuni nchini yako ofisi hiyo, hivyo si rahisi kampuni zaidi ya moja kuwa na majina yanayofanana. Ikibainika kuwepo kwa kampuni yenye jina kama la kwako, Ofisa wa Brela, atakuelekeza utafute jina jingine, na kama atakuta hakuna jina la kampuni linalofanana na la kwako, basi jina hilo litapokelewa kwa hatua inayofuata. STEP 2; andaa waraka na katiba ya kampuni (memorundum&article of association). Baada ya jina kuwa limethibitishwa, kwa maana ya kukubaliwa na Msajili wa Kampuni, hatua in...

TANGAZO, TANGAZO KWA WATUMISHI WA UMMA!

TAASISI YA FANIKIWA MICROFINANCE inayofuraha kuwatangazia watumishi wote wa Umma ya kwamba tunatoa mikopo ya haraka bila dhamana ndani ya masaa 24, kuanzia kima cha chini kabisa cha shilingi laki moja (100,000/=) na kuendelea. Riba yetu ni nafuu sana, Ni 3% tu na ni kuanzia miezi 3 hadi miezi 72 Kwa songea mjini tupo jengo la NSSF Head office. Wote mnakaribishwa! Fanikiwa Loan officer 0743 836 732

NJOO TUKUSAIDIE KUSAJILI KAMPUNI YAKO ONLINE HARAKA

SIKU UKIHITAJI KUFUNGUA KAMPUNI :TUNATOA HUDUMA HIZI KWA 1.KUANDAA MEMORANDUM OF ASSOCIATION AND ARTICLE OF ASSOCIATION 2.NAME SEARCH NA KUSAJILI BRELA 3.KUKUSAIDIA MAMBO Y TRA NA MANISPAA(LESENI) 4.MPANGILIO WA MAHESABU(RECORD KEEPING SYSTEM) 5.ACCOUNTING SOFTWARE YA KUTUNZA KUMBUKUMBU 6.KUTENGENEZA COMPANY WEBSITE 7.OFFICIAL COMPANY EMIL BILA WEBSITE 8.READY MADE CONTRACTS 9.KUKUSAIDIA USAJILI WA BANK ACCOUNT YA KAMPUNI,NSSF,WCF tupigie au ingia link hii kujiunga na group letu huko utapata kila kitu ingia hapa ujiunge na group letu bure kabisa https://chat.whatsapp.com/C8DwMFjMoEeDXuf5gmZHkg

SAJILI JINA LA BIASHARA/KAMPUNI/NAME SEARCH BRELA

SIKU UKIHITAJI KUFUNGUA KAMPUNI :TUNATOA HUDUMA HIZI KWA 1.KUANDAA MEMORANDUM OF ASSOCIATION AND ARTICLE OF ASSOCIATION 2.NAME SEARCH NA KUSAJILI BRELA 3.KUKUSAIDIA MAMBO Y TRA NA MANISPAA(LESENI) 4.MPANGILIO WA MAHESABU(RECORD KEEPING SYSTEM) 5.ACCOUNTING SOFTWARE YA KUTUNZA KUMBUKUMBU 6.KUTENGENEZA COMPANY WEBSITE 7.OFFICIAL COMPANY EMIL BILA WEBSITE 8.READY MADE CONTRACTS 9.KUKUSAIDIA USAJILI WA BANK ACCOUNT YA KAMPUNI,NSSF,WCF tupigie au ingia link hii kujiunga na group letu huko utapata kila kitu ingia hapa ujiunge na group letu bure kabisa https://chat.whatsapp.com/C8DwMFjMoEeDXuf5gmZHkg

IF YOU NEED TO REGISTER YOUR COMPANY PLEASE NOTE

IF YOU NEED TO REGISTER YOUR COMPANY PLEASE NOTE OF THE FOLLOWING PREPARE 1.NIDA ID/NUMBER 2. TIN NUMBER OF ALL DIRECTORS 3.COMPANY NAME 4.COMPANY OFFICE ADRESS(LOCATION) OR CALL +255764530882

KUUNDA KAMPUNI,KUSAJILI

I WATAALAMU TULIOBOBEA KATIKA MASUALA YA KUUNDA KAMPUNI,KUSAJILI NA KUISIMAMISHA KAMPUNI KARIBU TUKUSAIDIE MAHITAJI YA KUISIMAMAMISHA KAMPUNI YAKO IWE MPYA AU ILIYOKATIKA UZALISHAJI PIA TUNASAIDIA KATIKA KUFANYA FILLING ZA ANNUAL RETURN,TAX PLAN,UPDATING COMPANY INFORMATION KWA HARAKA NA KWA UMAKINI MKUBWA PAMOJA NA USAJILI WA MAJINA YA BIASHARA NA TRADE MARK ,PROPOSAL,BUSINESS PLAN POPOTE ULIPO WASILIANA NASI KWA NAMBA HIZI 0764530882 (CALL+WHATS APP) AU TUANDIKIE ETJ.PROFFESSIONAL CONSULTANCY, P.O.BOX 2582, DODOMA NEAR TO SABASABA STAND

ANDIKO LA MRADI

Kama unahitaji kuandikiwa andiko la mradi wowote ule NGO,CBO,Biashara nk wasiliana nasi tutakuandikia kwa gharama nafuu wasiliana nasi kwa email:theo350789@gmail.com popote tanzania