TUJIKUMBUSHE MATUKIO MAKUBWA MATANO YAKIDUKUZI KATIKA MAKAMPUNI MAARUFU
TUJIKUMBUSHE MATUKIO MAKUBWA MATANO YAKIDUKUZI KATIKA MAKAMPUNI MAARUFU


Huku mataifa mbali mbali yakiendelea kujipanga katika mapambano dhidi ya uhalifu mtandao, bado matukio ya kiuhalifu mtandao yameendelea kuitikisa dunia. Yafuatayo ni matukio matano niliyo chagua kuyajadili siku ya leo.
NEIMAN MARCUS
Mwezi wa pili mwaka huu wa 2014,...
Habari Zinazoendana
2 years ago
Bongo5 21 NovHizi ni sababu inazofanya makampuni makubwa ya teknolojia kununua makampuni madogo/yanayochipukia
‘WhatsApp yanunuliwa kwa dola za kimarekani bilioni 19’,
’Facebook yainunua Instagram kwa shillingi za kitanzania trillioni…’ ni
miongoni mwa vichwa vya habari ambavyo si vigeni sana kwenye macho yetu,
kampuni fulani kununua kampuni nyingine.

Ni jambo la kawaida kwenye ulimwengu wa teknolojia lakini unajua sababu kuu zinachofanya kampuni hizi kumwaga mabilioni ya pesa zote hizo? (Tena kwenye Apps zinazopatikana BUREE kwenye app stores?!Natania kidogo) kaa hapa nikujuze:-
Kuinua thamani ya...
Ni jambo la kawaida kwenye ulimwengu wa teknolojia lakini unajua sababu kuu zinachofanya kampuni hizi kumwaga mabilioni ya pesa zote hizo? (Tena kwenye Apps zinazopatikana BUREE kwenye app stores?!Natania kidogo) kaa hapa nikujuze:-
Kuinua thamani ya...
8 months ago
Michuzi
MAKAMPUNI 380 KUONESHA BIDHAA ZAO KATIKA MAONESHO MAKUBWA YA KIMAITAFA UTALII YA KARIBU KILIFAIR MJINI MOSHI

Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii,Kanda ya Kaskazini .
MAKAMPUNI 380 yanayojishughulisha na Utalii yanataraji kushiriki Maonesho ya Kimataifa ya Karibu Kilifair huku kampuni ya Kilifair Ltd inayoratibu maonesho hayo ikitangaza kuandaa safari za kifamilia zitakazoshirikisha watu kutoka...
1 year ago
Michuzi
TAARIFA YA MATUKIO MAKUBWA NA MADOGO YA JINAI KATIKA MKOA WA MBEYA
Ifuatayo ni taarifa ya Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya kwa kipindi cha Januari hadi Disemba, 2017. Taarifa hii inaonesha matukio makubwa na madogo ya uhalifu, matukio ya usalama barabarani, matukio yaliyovuta hisia kwa jamii, hali ya ulinzi na usalama kipindi cha sikukuu ya Kristmasi na mwaka mpya 2018, mpango mkakati wa Jeshi la Polisi Mbeya na mafanikio yaliyopatikana kutokana na operesheni, misako na doria.
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya limeendelea...
3 years ago
Bongo5 31 DecTCRA yayashushia nyundo makampuni matano ya simu
Mkurugenzi Mkuu wa TCRA, Dkt. Ally Y. Simba
Hii ni taarifa kamili:
1. Katika shughuli zake za udhibiti wa huduma za mawasiliano nchini, Mamlaka ya Mawasilaino Tanzania imepokea malalamiko kutoka kwa watumiaji wa huduma za mawasiliano dhidi ya kuwepo mazingira yasiyo salama...
2 years ago
Global Publishers 06 FebYapo Mengi Lakini Haya ni Matukio Matano Yaliyoishangaza Dunia
KUNA mambo mengi yamekuwa yakitokea duniani, yanashangaza na wakati mwingine mtu kujiuliza kwamba inawezekanaje jambo hilo kutokea? Tangu dunia ilipoumbwa, kuna mambo mengi yalitokea kuanzia karne ya 18 mpaka karne hii ya 21.
Yapo yaliyotokea kwa makusudi lakini pia yapo yaliyotokea kwa bahati mbaya kabisa ambayo kwa kifupi tungesema Mungu alitaka hayo yatokee ili iwe fundisho kwa watu wanaoshuhudia au akusikia. Haya hapa ni baadhi ya mambo matukio matano ambayo yaliishangaza dunia.

3 years ago
VijimamboTUJIKUMBUSHE TULIKOTOKA. JOHN BROWN MPIGANAJI KATIKA KUMALIZA UTUMWA, ALIEJULIKANA KATIKA SHAMBULIO LAKE LA HARPER FERRY 1859

4 years ago
Michuzi
Rais Kikwete akutana na Wakuu wa Makampuni makubwa ya India.

Aliwahimiza kuchangamkia fursa za uwekezaji nchini Tanzania. kushoto kwa Mhe. Rais ni Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Abdallah Kigoda (Mb) na kulia ni kiongozi wa Chama cha Wafanyabiashara nchini India. Mazungumzo hayo yakifanyika katika Hoteli ya Taj Palace jijini Delhi

2 years ago
Michuzi
MAKAMPUNI MATANO YAONDOLEWA KWA NGUVU KWENYE JENGO LA QUALITY PLAZA KWA KUSHINDWA KULIPA PANGO

Hatimaye Makampuni matano yanayomilikiwa na Mfanyabiashara Yusuf Mehboub Manji yameondolewa katika Jengo la Quality Plaza linalomilikiwa na Shirika la Hifadhi ya Jamii la PSPF. Jengo hilo lipo Kitalu Na. 189/2 na liko mkabala na Barabara ya Nyerere jijini Dar es Salaam.
Sababu inayotajwa ya Makampuni hayo kuondolewa katika jengo hilo ni deni la kodi ya pango linalofikia kiasi cha Shilingi bilioni 13. Hatua ya kung'olewa makampuni hayo katika jengo hilo ni baada ya mpangaji kushindwa kuondoka...
Comments
Post a Comment