Posts

Showing posts from March, 2019

liquidity

Inakuwaje cheque inakataliwa benki (bounced cheque)? # liquidity # financialmanagement # biashara Ni mara nyingi nimeshuhudia mikasa ya cheque zinapelekwa benki lakini zinakataliwa kwa sababu ya kutokuwa na pesa kwenye account Nakumbuka mkasa ambapo Mkurugenzi wa kampuni mmoja aliandika cheque ya million 3 na kumpa cashier akamchukulie pesa benki, lakini badaye alipewa jibu kuwa cheque imekataliwa kwa kuwa account haina pesa Mkurugenzi huyo alimkasirikia cashier wake kwa madai kuwa kulikuwa na uzembe kwani asubuhi ya siku hiyo aliambiwa na cashier kuwa account ya kampuni ilikuwa na pesa kiasi cha shilling million 5 Ukweli wa mambo ni kuwa ni kweli account ilikuwa na shilling milioni 5 lakini muda mfupi uliopita mteja mmoja wa hiyo kampuni alipeleka cheque yake ya Shilling million 3 bank ambayo alikuwa amepewa na hiyo kampuni wiki iliyopita. Kwa hiyo account ya kampuni ilibaki na shilling million 2 wakati cashier alipopeleka cheque ya Mkurugenzi ... Kwa habari zaidi t

FORMATION OF COMPANY

SECTION 1.TYPES OF COMPANY 1)Basic types a)Statutory companies b)Chartered companies c)Registered companies hapa tutachambua kimoja kimoja kama unaswali tupia kwenye contact zetu hapa au email uliza chochote kuhusu kampuni 0626402722

TUANZE KUCHAMBUA KILA KIPENGERE KUHUSU KAMPUNI

ANDIKO LA MRADI WA KUOMBA UFADHILI

Image
MAMBO YA KUZINGATIA KATIKA UANDISHI WA ANDIKO LA MRADI WA KUOMBA UFADHILI 1, tumia Lugha inayojulikana na mataifa Mengi. Hapa tunashauriwa kutumia Lugha ya kingereza, Kwan ndiyo inayotambuliwa na wafadhili wengi. May be Ukiwa unaandikia kwa wafadhili wa ndani ya nchi. 2. Fuata hatua Za maombi - Hii ni kwasababu wafadhili wengi hupenda kutumia muundo wao ambao utaujaza kwa kujibu maswali yaliyoainishwa katika muundo huo ulioandaliwa. ( Tutajifunza kwenye practical ) - Lakini ikiwa Hakuna muundo ulioandaliwa na agencies basi utaandika kwa kufuata vipengere muhimu vya kuvifuata katka uandishi uo ( tutaviangalia soon ). 3. Kuwa makini na tarehe ya Mwisho katika kutuma maombi ya proposal - kosa kubwa linalofanywa na watu wengi ni kutuma maombi tarehe na dakka Za Mwisho. Hii inapelekea mfadhili kutoisoma/ kuifuatilia proposal yako vizuri. 4. Kujua kanuni na taratibu Za mfadhili katika utoaji wa ruzuku- kuzifahamu taratibu na kanuni ni hatua ya msingi katika kupata r

mastori ya town

Image
soma injinia soma injinia picha

jifunze kuandika barua ya maombi yenye mvuto kwa mwajiri

imezoeleka copy and paste ulichokieleza maombi ya kazi ile ndiyo yale yale yanapatikana tena kwenye maombi mapya huwezi kupata kazi kwa mtindo huu hata sisi wenyewe tunashare je waajiri hawezi kufanya hivyo badirika kuwa mbunifu na unayeenda na wakati ukiona huwezi tafuta mtu ambaye yuko competent kwenye nyanja hiyo akusaidie usiogope kwani woga wako ndo umasikini wako endelea kupitia blog yetu utajifunza mengi zaidi

Below are the Latest and Top 26 Jobs posted on 16-03-2019

World Vision Tanzania Jobs 7 Vacancies http://www.tanzania. jobsportal-career.com/2019/03/ 11/world-vision-tanzania-jobs- 7-vacancies/ Vacancies At World Bank March 2019 http://www.tanzania. jobsportal-career.com/2019/03/ 11/vacancies-at-world-bank- march-2019/ Nmb Bank Tanzania Sales Jobs http://www.tanzania. jobsportal-career.com/2019/03/ 11/nmb-bank-tanzania-sales- jobs/ Fhi 360 Ngo Tanzania Jobs 4 Posts http://www.tanzania. jobsportal-career.com/2019/03/ 11/fhi-360-ngo-tanzania-jobs- 4-posts/ Vacancies At Mwenge Catholic University Mwecau March 2019 http://www.tanzania. jobsportal-career.com/2019/03/ 10/vacancies-at-mwenge- catholic-university-mwecau- march-2019/ Vacancies At African Development Bank Group March 2019 http://www.tanzania. jobsportal-career.com/2019/03/ 10/vacancies-at-african- development-bank-group-march- 2019/ Shift In Charge 6 Posts At Tanroads Iringa http://www.tanzania. jobsportal-career.com/2019/03/ 10/shift-in-charge-6-posts-at- tanroads-iring

Nervous? Here are 10 tips of answering interview questions to work at Letshego & Blue Recruit Employment Solutions- Apply Now!!

Image
The most nerve-wracking thing about the job interview is not knowing what questions you’ll be asked. So, to help you avoid been caught off-guard and panicking, here is how you can answer some of the most common and toughest interview questions. Read More Letshego Bank Tanzania Ltd Collection Agents See Open Position Top career opportunities for professionals like you Blue Recruits Employment Solutions Senior Executive Continental Chef APPLY NOW The African Talent Company | TATC Africa Sales Executive (Mbeya) - 500,000 Tsh APPLY NOW Solar Kiosk(T) Ltd Finance Manager (Retail) APPLY NOW Expert Consultancy Heavy Equipment Mechanic Technicians APPLY NOW International Executive Service Corps - IESC Short Term Consultant - Request for Proposal and Quota