Anahitajika mfanyakazi awe mwanamke umri kati ya miaka 20 hadi 35 kwa ajili ya kazi ya computer application

Mwenye cheti cha certificate au Diploma ya Information Technology, computer science, computer application au course yoyote inayoendana na hizo

Mshahara Tsh 150,000 kwa mwezi

Awe anatokea Dodoma au awe anaweza kuishi Dodoma

Kwa ajili ya kazi tuma CV yako kwa email: chiefcomputertech@gmail.com

Mwisho wa kutuma maombi ni 28/04/2019
 

Comments

Popular posts from this blog

Barua ya Kuomba Kazi

ANDIKO LA MRADI WA KUOMBA UFADHILI

Barua ya Maombi ya Kazi Kupitia Email (Barua Pepe)