- Study the general business climate of the country,
- Research some few ideas,
- Establish requirements for the researched ideas,
- Select the idea which fits you,
- Choose location,
- Prepare a business plan,
- Prepare a market plan,
- Prepare a succession plan.
MKATABA WA PANGO LA CHUMBA CHA BIASHARA
MKATABA WA PANGO LA CHUMBA CHA BIASHARA: Mimi ………….. wa S.L.P. …………. – (eneo) mkazi wa ………………. leo tarehe …………. 2019 nimeingia mkataba wna Ndugu ………………… wa S.L.P. ………….. – Songea kupanga chumba cha biashara kwenye nyumba iliyopo …………….. Shughuli ya biashara itaanza tarehe …………….. baada ya kukamilisha taratibu za kuanza biashara, hivyo pango litahesabika kuanzia tarehe hiyo. Mkataba huu ni wa miezi mitatu baada ya hapo nitaamua kuendelea au vinginevyo. Pango la chumba kwa mwezi ni Tshs: ……………./= kwa mwezi. Huduma za umeme. na maji zitategemea matutumizi kupitia metre separator au mita yangu mwenyewe. Mkataba huu nimeingia nikiwa na akili timamu na kushuhudiwa na: - ……………………………. ………………………………… …………………………….. (……………….) ...
Comments
Post a Comment