kama unataka kampuni basi inabidi uwe na mambo yafuatayo

kama unataka kampuni basi inabidi uwe na mambo yafuatayo
1.Wamiliki wasiopungua wawili pamoja na mgawanyo wa umiliki(shares)
2.Mahali walipo Wamiliki (physical location)
3.Sehemu unayotarajia biashara kuwepo(business location)
4.Utatakiwa kuandaa katiba ya biashara yako( kisheria inaitwa Memorandum and Article of Association)
5.Unaweza andaa mwenyee au ukatafuta Mwanasheria
6.Usajiri unafanywa online kupitia BRELA
7.Jina la kampuni lisilo fanana na kampuni yoyote iliyosajiliwa BRELA
8.Gharama ya usajili italingana na mtaji wako
9.Hatua zingine zinaweza fuata baada ya hii...km kutafuta leseni..TIN number n.k
10.Haya ni mawazo yangu wadau wengine wanakaribishwa kuchangia

Kwa msaada zaidi unaweza nipigia kupitia
0764530882

NoTE: Remember any business to succeed is all about branding and Serious planning
karibu Kwa msaada zaidi kama utaridhia ukinipa mahitaji yoote yahusuyo usajili wa kampuni ...naweza kukufanyia procedure zote unakabidhiwa kampuni mkononi(full legal documents) we unaipeleka ofisini
Ahsante

Comments

Popular posts from this blog

Barua ya Kuomba Kazi

ANDIKO LA MRADI WA KUOMBA UFADHILI

Barua ya Maombi ya Kazi Kupitia Email (Barua Pepe)