UTATA SIKU YA UFUFUO-SIYO MANENO YANGU NI MASTORI YA TOWN

Hiv ni kweli siku ya ufufuo ipo au ni tricky tu ya kutufariji pindi tunapofiwa na ndugu na jamaa ili tuamini ipo siku tutaonana nao paradiso na kama kweli ipo? Maana watu wamefariki miaka zaidi ya Ma elfu iliyopita ila hatujawahi kusikia habari za ufufuo wao au inakuaje? Maana kila siku watu wanazidi kuzaliana na kufa

Comments

Popular posts from this blog

Barua ya Kuomba Kazi

ANDIKO LA MRADI WA KUOMBA UFADHILI

Barua ya Maombi ya Kazi Kupitia Email (Barua Pepe)